• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Complaints |
Nanyumbu District Council
Nanyumbu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • List of Leaders
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Stategies
  • Administration
    • Muundo
    • Idara
      • Water
      • Kilimo
      • Finance and Accountants
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

VETA kujenga chuo Nanyumbu

Posted on: December 12th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu Mhe. Marium Chaurembo (wa tatu kulia) akizungumza na wananchi wa kijiji cha Maneme

Na, Lunanilo Ngela

Mhandisi Samweli Bundala wa Wizara ya Elimu pamoja na msanifu majengo ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Ndg. Dotto Saganda wamemhakikishia Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu Mhe. Marium Chaurembo pamoja na wananchi wa Wilaya hiyo kuwa Serikali itatekeleza ujenzi wa Chuo cha Ufundi stadi katika kijiji cha Maneme.

Akizungumza katika eneo lililotengwa kijijini hapo kwa ajili ya ujenzi wa Chuo hicho, Mhandisi Bundala amesema kuwa eneo lililotengwa linafaa kwa ujenzi huo.

Aidha, Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu amesema kuwa ujezi wa chuo hicho umekuwa shauku kubwa kwa wananchi hao ambao kwa moyo wa dhati wametenga ekari 40 ili kuwezesha ujenzi wa chuo hicho.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu Mhe. Benjamini Masimbo, Katibu Tawala wa Wilaya Ndg. Salum Palango pamoja na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndg. Philipo Sengela wameishukuru Serikali kwa kudhamiria kujenga chuo hicho wilayani Nanyumbu.


Matangazo

  • Tangazo la Kazi za Muda za MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 May 06, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA NANYUMBU July 02, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • Baraza la Madiwani lapokea na kujadili Taarifa ya Maendeleo ya Kata 17 Nanyumbu

    January 26, 2023
  • Tarifa kwa Umma

    January 25, 2023
  • Tarifa kwa Umma

    January 25, 2023
  • Serikali yatatua mgogoro hifadhi ya msitu Mbangara wilayani Nanyumbu

    December 28, 2022
  • Ona yote

Video

Utalii wa ndani Nanyumbu
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • miongozo

Tovuti Mashuhuri

  • Public Service Management
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu

    Anwani ya Posta: 246, Masasi

    Simu: 0232934112/3

    Simu za Mikononi:

    Barua Pepe: info@nanyumbudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 Nanyumbu Distict Council . All rights reserved.