• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Nanyumbu District Council
Nanyumbu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
    • Maadili ya Msingi
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo
    • Divisheni
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Industry, Trade and Investments
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Planning and Coordination
      • Human Resource Management and Administration
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Natural Resources and Environment Conservation
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Biashara
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Information and Communication Technology
      • Government Communication
    • Wards
      • Chipuputa
      • Mangaka
      • Kilimanihewa
      • Sengenya
      • Kamundi
      • Maratani
      • Nandete
      • Nanyumbu
      • Mkonona
      • Masuguru
      • Likokona
      • Michiga
      • Napacho
      • Lumesule
      • Mnanje
      • Mikangaula
      • Nangomba
    • Villages
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Utalii
      • Hifadhi ya Wanyama ya Lukwika Lumesule
      • Daraja la Mtambaswala
      • Sehemu za Kiutamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
    • Elimu
      • Ujenzi wa Vyuo Vikuu
      • Ujenzi wa Vyuo vya Kati
      • Ujenzi wa Shule Binafsi
    • Maeneo ya Viwanda
    • Ujenzi wa Mahoteli
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Watumishi
    • Ujasiriamali
    • Biashara
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango (FUM)
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma

Kilimo, Mifugo na Uvuvi

Lengo

Kukuza mabadiliko na maendeleo ya kilimo, umwagiliaji, mifugo na uvuvi.

Majukumu ya Idara ni kama ifuatavyo: -

  1. Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa Sera, Sheria na Udhibiti wa kilimo, umwagiliaji, Mifugo na Uvuvi;
  2. Kupendekeza viwango na bei za bidhaa na huduma zitokanazo na kilimo, mifugo na uvuvi;
  3. Kuandaa mipango na programu fupi na ndefu za maendeleo ya kilimo, umwagiliaji, mifugo na uvuvi;
  4. Kusimamia uendelezaji na utawala bora wa vyama vya ushirika katika Halmashauri;
  5. Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa wadau wanaohusika na kilimo, umwagiliaji, mifugo na uvuvi;
  6. Kuandaa taarifa za kilimo, umwagiliaji, mifugo na uvuvi; na
  7. Kusimamia ukusanyaji na udhibiti wa mapato ya shughuli za kilimo, umwagiliaji, mifugo na uvuvi.

Idara hii itaongozwa na Mkuu na itajumuisha Sehemu tatu (3): -

  1. Sehemu ya Kilimo;
  2. Sehemu ya Mifugo; na
  3. Sehemu ya Uvuvi.


Sehemu ya Kilimo

Sehemu hii itafanya shughuli zifuatazo:-

  1. Kutayarisha na kutekeleza programu za usambazaji wa mbolea katika maeneo mbalimbali ya mauzo;
  2. Kuandaa programu za kupanga na kuhifadhi pembejeo za kilimo;
  3. Kufanya uchunguzi wa udongo wa sampuli za shamba la mkulima na ushauri ipasavyo;
  4. Kutoa ushauri kwa wakulima kuhusu, utunzaji baada ya mavuno, usindikaji wa mazao ya kilimo na uongezaji thamani wa mazao ya kilimo;
  5. Kukadiria mavuno/uzalishaji wa mazao muhimu;
  6. Kufanya kazi za takwimu na sensa ya kilimo;
  7. Kufanya maonyesho ya majaribio ya aina mbalimbali na mbolea kutoka kwa sehemu ya Halmashauri nzima;
  8. Kusimamia uendelezaji na utawala bora wa vyama vya ushirika;
  9. Kuratibu uwekaji hifadhi ya hatua za ulinzi wa mbolea/mimea katika ngazi ya kijiji;
  10. Kuandaa kambi za mafunzo kwa wakulima katika ngazi ya kijiji;
  11. Kutayarisha na kutekeleza mpango wa mseto wa mazao hasa kwa maeneo ya umwagiliaji kwenye vitalu;
  12. Kutekeleza Programu ya Maendeleo ya Bayogesi;
  13. Kupanga, kubuni, kujenga na kudumisha skimu za umwagiliaji;
  14. Kuwezesha uundaji wa mashirika ya wamwagiliaji na kuhakikisha kuwa mashirika yanapewa ujuzi unaohitajika kwa ajili ya usimamizi bora na endelevu wa umwagiliaji;
  15. Kusaidia utungaji na utekelezaji wa sheria ndogo za umwagiliaji na Chama cha Wamwagiliaji katika maeneo yao; na
  16. Kutoa huduma za mrejesho kwa wakulima katika skimu ya umwagiliaji kwa kuanzisha timu za usimamizi wa skimu za umwagiliaji.

Sehemu hiyo itaongozwa na Afisa Mfawidhi.


Sehemu ya Mifugo

Sehemu hii itafanya shughuli zifuatazo: -

  1. Kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa sera, sheria, kanuni na taratibu za Mifugo;
  2. Kuandaa mpango na programu ya muda mfupi na mrefu ya kuendeleza mifugo;
  3. Kutathmini uhifadhi na matumizi ya rasilimali za mifugo;
  4. Kusimamia uendelezaji na utawala bora wa vyama vya ushirika;
  5. Kutoa msaada wa kiufundi kwa wadau wa sekta ya mifugo; na
  6. Kuratibu na kusimamia miradi yote inayohusu mifugo.

Sehemu hiyo itaongozwa na Afisa Mfawidhi.


Sehemu ya Uvuvi

Sehemu hii itafanya shughuli zifuatazo:-

  1. Kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa sera, sheria, kanuni na taratibu za uvuvi;
  2. Kuandaa mpango na programu ya muda mfupi na mrefu kwa ajili ya kuendeleza rasilimali za uvuvi;
  3. Kutathmini uhifadhi na matumizi ya rasilimali za uvuvi;
  4. Kusimamia uendelezaji na utawala bora wa vyama vya ushirika
  5. Kutoa msaada wa kiufundi kwa wadau wa sekta ya uvuvi; na
  6. Kuratibu na kusimamia miradi yote inayohusika na uvuvi.

Sehemu hiyo itaongozwa na Afisa Mfawidhi.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Mafunzo ya Waandishi Wasaidizi na Waendeshaji Vifaa vya Bayometriki January 23, 2025
  • Tangazo la Nafasi za Kazi August 09, 2024
  • Tangazo la Majina na Mipaka ya Vijiji na Vitongoji September 16, 2024
  • Maelekezo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 September 26, 2024
  • Ona yote

Habari Mpya

  • Afisa Mwandikishaji Nanyumbu Awataka Washiriki wa Mafunzo Kuhakikisha Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura Linatekelezwa kwa Ufanisi

    May 14, 2025
  • DC MAGALA AWAASA WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CWT NANYUMBU KUCHAGUA VIONGOZI BORA NA SIO BORA VIONGOZI.

    March 19, 2025
  • KAMATI YA MWENGE MKOA WA MTWARA YAFANYA ZIARA KUKAGUA MAENDELEO YA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE NANYUMBU.

    March 17, 2025
  • DC MAGALA AKABIDHI KIASI CHA SHILINGI MILLIONIMOJA SHULE YA MSINGI MWAMBANI.

    March 12, 2025
  • Ona yote

Video

Kituo cha mabasi Mangaka
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HUDUMA ZA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • RATIBA YA VIKAO VYA HALMASHAURI
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • UTALII NANYUMBU

Tovuti Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu

    Anwani ya Posta: 246, Masasi

    Simu: 0232934112/3

    Simu za Mikononi:

    Barua Pepe: info@nanyumbudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu. Haki Zote Zimehifadhiwa.