• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Complaints |
Nanyumbu District Council
Nanyumbu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • List of Leaders
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Stategies
  • Administration
    • Muundo
    • Idara
      • Water
      • Kilimo
      • Finance and Accountants
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Tumehitimisha MAADHIMISHO ya Muungano kwa Bonanza la NANYUMBU

Posted on: April 27th, 2022

" Tumehitimisha MAADHIMISHO ya Muungano kwa Bonanza la NANYUMBU Derby "

• CRDB na Mhe.Mbunge waunga mkono.

Wilaya ya Nanyumbu kama maeneo mbalimbali ya Nchi nayo imeadhimisha miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuunda Taifa la Tanzania kwa namna ya kipekee.

Shughuli zilizofanyika zilikuwa ni pamoja na usafi wa mazingira katika Kata zote za Wilaya ya Nanyumbu, ambapo katika ngazi ya Wilaya usafi ulifanyika katika Hospital ya Mangaka.

Aidha, mchana ulifanyika mdahalo katika Jengo la Halmashauri ambapo watoa mada mahiri waliwasilisha ili kuwarithisha Vijana wetu wa Shule za SEKONDARI tunu hii muhimu.

Mwisho, Jioni tulimaliza na Mechi kabambe ya WAPINZANI wa jadi

 " Nanyumbu Derby " Kati ya Kata za Mangaka na Kilimanihewa ambapo Kata ya Kilimanihewa waliibuka kidedea kwa Ushindi wa Goli 2-1 na kujinyanyukulia Zawadi nono iliyotolewa na Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji.

Pia ilitumika nafasi hiyo kuwahamasisha Wananchi kushiriki katika Sensa ya sita (6) ya Watu na makazi toka Muungano ambayo itafanyika mwezi Agosti 2022.

Shughuli hizo zote ushiriki wa Chama cha Mapinduzi ulikuwepo ambapo KATIBU wa CCM Wilaya Ndg. Eliud Shemauya aliongoza Jahazi.

Shukrani za dhati kwa wadhamini wetu wa mpambano huo ambao ni Benki ya CRDB Tawi la Nanyumbu na Mhe.Yahaya Ally Mhata, Mbunge wa Jimbo la Nanyumbu kwa kuzipatia Timu zote maji yakutosha kabla na wakati wote wa Mchezo.

na mwandishi wetu S.Palango

Matangazo

  • Tangazo la Kazi za Muda za MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 May 06, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA NANYUMBU July 02, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • Baraza la Madiwani lapokea na kujadili Taarifa ya Maendeleo ya Kata 17 Nanyumbu

    January 26, 2023
  • Tarifa kwa Umma

    January 25, 2023
  • Tarifa kwa Umma

    January 25, 2023
  • Serikali yatatua mgogoro hifadhi ya msitu Mbangara wilayani Nanyumbu

    December 28, 2022
  • Ona yote

Video

Utalii wa ndani Nanyumbu
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • miongozo

Tovuti Mashuhuri

  • Public Service Management
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu

    Anwani ya Posta: 246, Masasi

    Simu: 0232934112/3

    Simu za Mikononi:

    Barua Pepe: info@nanyumbudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 Nanyumbu Distict Council . All rights reserved.