• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Complaints |
Nanyumbu District Council
Nanyumbu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • List of Leaders
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Stategies
  • Administration
    • Muundo
    • Idara
      • Water
      • Kilimo
      • Finance and Accountants
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

NANYUMBU YANUNUA LORI LA KIMKAKATI

Posted on: April 13th, 2022

" LORI la KIMKAKATI "

Aliyewahi kuwa Bingwa wa Uzito wa Juu wa Masumbwi Dunia Muhammad Ally alipata kusema,

" Champions aren't made in the Gym.

Champions are made from something they have deep inside them - a desire, a dream and a vision "

Akimaanisha, washindi hawatengenezwi katika Nyumba za mazoezi ( Gym) bali kwa kile wanachoamini sana ndani ya maono yao, ndoto yao na matamanio yao.

Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu imenunua Lori la KIMKAKATI kuhakikisha inaongeza mapato na kuongeza kasi ya ukamilishaji wa Miradi ya Maendeleo katika Wilaya ya Nanyumbu.

Lori hilo lenye namba za usajili SM 14500 na uwezo wa kubeba Tani 14 limenunuliwa kwa thamani ya Tsh.Milioni 140  fedha za mapato ya ndani.

Itakumbukwa Kuwa, Wilaya ya Nanyumbu ina Mradi wa ufyatuaji wa TOFARI ambazo zina ubora uliothibitishwa  maabara na kutumika katika miradi mbalimbali ya Halmashauri na Watu binafsi.

Hivyo, ununuzi wa Lori hilo litachochea zaidi ukuaji wa Biashara ya usambazaji wa TOFARI, mchanga, Kokoto, saruji n.k na hivyo kuongeza Mapato ya Halmashauri na ajira kwa Vijana na kusaidia  kuongeza nguvu ya Halmashauri katika kuwahudumia Wananchi.

Uzinduzi rasmi wa matumizi ya  Lori hilo ulifanywa Tarehe 25/03/2022 na Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu, Mhe. Mariam Khatibu Chaurembo na kushuhudiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Comred Benjamin Masimbo.

Hongera Watendaji wa Halmashauri ya Nanyumbu chini ya Mkurugenzi Mtendaji Ndg. Ibrahim Mwanauta na Baraza la Waheshimiwa Madiwani kwa maamuzi mazuri ya kimkakati.

" Acha Kazi iendelee "

Matangazo

  • Tangazo la Kazi za Muda za MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 May 06, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA NANYUMBU July 02, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • Baraza la Madiwani lapokea na kujadili Taarifa ya Maendeleo ya Kata 17 Nanyumbu

    January 26, 2023
  • Tarifa kwa Umma

    January 25, 2023
  • Tarifa kwa Umma

    January 25, 2023
  • Serikali yatatua mgogoro hifadhi ya msitu Mbangara wilayani Nanyumbu

    December 28, 2022
  • Ona yote

Video

Utalii wa ndani Nanyumbu
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • miongozo

Tovuti Mashuhuri

  • Public Service Management
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu

    Anwani ya Posta: 246, Masasi

    Simu: 0232934112/3

    Simu za Mikononi:

    Barua Pepe: info@nanyumbudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 Nanyumbu Distict Council . All rights reserved.