• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Complaints |
Nanyumbu District Council
Nanyumbu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • List of Leaders
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Stategies
  • Administration
    • Muundo
    • Idara
      • Water
      • Kilimo
      • Finance and Accountants
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

NANYUMBU KUTOA KIDATO CHA SITA kwa Mara ya Kwanza toka Uhuru

Posted on: May 6th, 2022

Na mwandishi Baraka Mlahagwa - Kaimu Katibu Tawala Wilaya.

Historia inaenda kuandikwa !

Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu *Mhe Mariam Khatibu Chaurembo* Leo tarehe 06/05/2022 amewatembelea wanafunzi wa kidato cha Sita wa Shule ya Sekondari Mangaka na kufanya nao kikao kifupi. Mkuu wa Wilaya, amewatia moyo wanafunzi hao na kuwahasa kutumia muda wao vizuri kwa maombi na Sala katika Kuelekea kufanya Mitihani yao ya Mwisho itakayoanza wiki ijayo.

Aidha amewataka ku _focus_ zaidi kwenye Mitihani yao kwa kuendelea kujisomea hasa kwa kufanya _groups discussions_ ili kuwa na uelewa wa pamoja na kutenga muda wa kupumzika

Itakumbukwa kuwa Nanyumbu inaenda kutoa Wanafunzi wa kidato Cha sita kwa Mara ya kwanza *toka Nchi yetu ipate Uhuru*,  hivyo kufanya kwao vizuri katika Mitihani hiyo kutaongeza chachu ya kusoma kwa bidii kwa Wanafunzi wa  Kidato cha tano wanaobaki na itaonyesha dira njema kwa maeneo mengine ya Wilaya ya Nanyumbu hasa kwa shule zilizowekwa kwenye Mpango wa Kidato cha 5 & 6 hapo baadae.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi za Muda za MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 May 06, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA NANYUMBU July 02, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • Baraza la Madiwani lapokea na kujadili Taarifa ya Maendeleo ya Kata 17 Nanyumbu

    January 26, 2023
  • Tarifa kwa Umma

    January 25, 2023
  • Tarifa kwa Umma

    January 25, 2023
  • Serikali yatatua mgogoro hifadhi ya msitu Mbangara wilayani Nanyumbu

    December 28, 2022
  • Ona yote

Video

Utalii wa ndani Nanyumbu
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • miongozo

Tovuti Mashuhuri

  • Public Service Management
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu

    Anwani ya Posta: 246, Masasi

    Simu: 0232934112/3

    Simu za Mikononi:

    Barua Pepe: info@nanyumbudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 Nanyumbu Distict Council . All rights reserved.