• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Complaints |
Nanyumbu District Council
Nanyumbu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • List of Leaders
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Stategies
  • Administration
    • Muundo
    • Idara
      • Water
      • Kilimo
      • Finance and Accountants
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MWAKA MMOJA WA MKUU WA WILAYA NANYUMBU

Posted on: June 21st, 2022

SHUKRANI

" Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania "

Ndugu zangu ni mwaka mmoja sasa toka *Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania* aniteue na kunipa dhamana ya kuhudumu kama Mkuu wa Wilaya ya  Nanyumbu.

kipekee na thamini sana ushirikiano munaonipa katika kutekeleza majukumu yangu, nawaomba muendelee kufanya kazi kwa bidii ili kuliendeleza gurudumu la maendeleo la wilaya yetu.Hakika kila mmoja wenu amekuwa kiungo muhimu katika kutimiza vyema Majukumu yangu.

Nikishukuru Chama changu cha Mapinduzi, Kamati ya ULINZI na Usalama, Mhe.Mbunge, Mwenyekiti wa Halmashauri na Waheshimiwa Madiwani wote,Wakuu wa Idara,Taasisi zote,Maafisa Tarafa na Watendaji wote wa Serikali wa ngazi zote.

Mwisho, ila siyo kwa umuhimu, nikushukuru DAS wangu kwa ushirikiano unaonipa nakuombea kwa Mungu sana azidi kukupa Hekima, BUSARA & Afya njema ya kuendelea kukupa nguvu ya kuzidi kuchapa kazi.

Wewe ni mtu mwema sana kwangu na Wilaya kwa ujumla.Nikutie moyo na Hali ya kufanya Kazi kwa bidii na kumtanguliza Mungu kila uchwao leo.

Nawashukuru sana na Kazi iendelee

Mariam K. Chaurembo

MKUU wa Wilaya NANYUMBU

Matangazo

  • Tangazo la Kazi za Muda za MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 May 06, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA NANYUMBU July 02, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • Baraza la Madiwani lapokea na kujadili Taarifa ya Maendeleo ya Kata 17 Nanyumbu

    January 26, 2023
  • Tarifa kwa Umma

    January 25, 2023
  • Tarifa kwa Umma

    January 25, 2023
  • Serikali yatatua mgogoro hifadhi ya msitu Mbangara wilayani Nanyumbu

    December 28, 2022
  • Ona yote

Video

Utalii wa ndani Nanyumbu
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • miongozo

Tovuti Mashuhuri

  • Public Service Management
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu

    Anwani ya Posta: 246, Masasi

    Simu: 0232934112/3

    Simu za Mikononi:

    Barua Pepe: info@nanyumbudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 Nanyumbu Distict Council . All rights reserved.