• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Nanyumbu District Council
Nanyumbu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
    • Maadili ya Msingi
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo
    • Divisheni
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Industry, Trade and Investments
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Planning and Coordination
      • Human Resource Management and Administration
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Natural Resources and Environment Conservation
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Biashara
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Information and Communication Technology
      • Government Communication
    • Wards
      • Chipuputa
      • Mangaka
      • Kilimanihewa
      • Sengenya
      • Kamundi
      • Maratani
      • Nandete
      • Nanyumbu
      • Mkonona
      • Masuguru
      • Likokona
      • Michiga
      • Napacho
      • Lumesule
      • Mnanje
      • Mikangaula
      • Nangomba
    • Villages
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Utalii
      • Hifadhi ya Wanyama ya Lukwika Lumesule
      • Daraja la Mtambaswala
      • Sehemu za Kiutamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
    • Elimu
      • Ujenzi wa Vyuo Vikuu
      • Ujenzi wa Vyuo vya Kati
      • Ujenzi wa Shule Binafsi
    • Maeneo ya Viwanda
    • Ujenzi wa Mahoteli
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Watumishi
    • Ujasiriamali
    • Biashara
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango (FUM)
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma

Wagombea Ubunge Jimbo la Nanyumbu kurudisha fomu

Posted on: July 17th, 2020

Na, Lunanilo L. Ngela

Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani nchini Tanzania, wagombea ubunge 17 wa Jimbo la Nanyumbu kupitia Chama Cha Mapinduzi waliochukua fomu wamezirejesha ili kuwania ubunge katika uchaguzi huo utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu.

Wagombea hao waliorudisha fomu mpaka leo ni pamoja na Ndg. Hussein Omari, Ndg. Andrew John Napacho, Ndg. Kasembe Haridi Kasembe, Ndg. Ahmed T. Malagano, Ndg. Charles M. Mlaponi, Ndg. Chibwana G. Mlimbe, Ndg. Abdallah B. Nassoro, Ndg. Yahya Ally Mhata, Ndg. Dua W. Nkurua, Ndg. Christopher E. Ndizi, Ndg. Willium Kayombo, Ndg. Vumi Y. Namaha, Ndg. Paul M. Milanzi, Ndg. Dunstani D. Mkapa, Ndg. Joseph R. Mlekoni, Ndg. Wema H. Issa na Ndg. Hassan Issa Chiwanje.

Kaimu Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Nanyumbu Bi. Fatuma Mshihiri amesema kuwa, idadi ya wagombea ubunge kwa mwaka 2020 imeongezeka sana ikilinganishwa na miaka mingine. Ongezeko hilo linatokana na kukua kwa demokrasia ikiwa ni pamoja na hamasa kubwa ya wananchi waliyopata katika kushiriki kikamilifu uchaguzi mkuu.


Matangazo

  • Tangazo la Kuhudhuri Mafunzo ya Uchaguzi Jimbo la Nanyumbu October 21, 2025
  • Tangazo la Nafasi za Kazi August 09, 2024
  • Tangazo la Majina na Mipaka ya Vijiji na Vitongoji September 16, 2024
  • Maelekezo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 September 26, 2024
  • Ona yote

Habari Mpya

  • UZIDUZI WA BARAZA LA MADIWANI WILAYA YA NANYUMBU WAFANYIKA KWA AMANI NA UTULIVU.

    December 02, 2025
  • KAMATI YA PHC NANYUMBU YAJADILI MLIPUKO WA KIPINDUPINDU NA KUWEKA MIKAKATI YA KUKABILIANA NAO.

    October 28, 2025
  • Wasimamizi wa Vituo vya Kupigia Kura Nanyumbu Wapigwa Msasa Kuelekea Oktoba 29

    October 26, 2025
  • Makarani Waongozaji Wapiga Kura Nanyumbu Waaswa Kutekeleza Majukumu kwa Uadilifu

    October 25, 2025
  • Ona yote

Video

Kituo cha mabasi Mangaka
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HUDUMA ZA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • RATIBA YA VIKAO VYA HALMASHAURI
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • UTALII NANYUMBU

Tovuti Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu

    Anwani ya Posta: 246, Masasi

    Simu: 0232934112/3

    Simu za Mikononi:

    Barua Pepe: info@nanyumbudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu. Haki Zote Zimehifadhiwa.