• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Nanyumbu District Council
Nanyumbu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
    • Maadili ya Msingi
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo
    • Divisheni
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Industry, Trade and Investments
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Planning and Coordination
      • Human Resource Management and Administration
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Natural Resources and Environment Conservation
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Biashara
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Information and Communication Technology
      • Government Communication
    • Wards
      • Chipuputa
      • Mangaka
      • Kilimanihewa
      • Sengenya
      • Kamundi
      • Maratani
      • Nandete
      • Nanyumbu
      • Mkonona
      • Masuguru
      • Likokona
      • Michiga
      • Napacho
      • Lumesule
      • Mnanje
      • Mikangaula
      • Nangomba
    • Villages
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Utalii
      • Hifadhi ya Wanyama ya Lukwika Lumesule
      • Daraja la Mtambaswala
      • Sehemu za Kiutamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
    • Elimu
      • Ujenzi wa Vyuo Vikuu
      • Ujenzi wa Vyuo vya Kati
      • Ujenzi wa Shule Binafsi
    • Maeneo ya Viwanda
    • Ujenzi wa Mahoteli
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Watumishi
    • Ujasiriamali
    • Biashara
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango (FUM)
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma

Serikali yatatua mgogoro hifadhi ya msitu Mbangara wilayani Nanyumbu

Posted on: December 28th, 2022

Katika picha ni Mwenyekiti wa Kamati ya Mawaziri nane wa Kisekta Mhe. Dr. Angeline Sylvester Mabula (katikati) akiwasili katika kijiji cha Wanika

Na, Lunanilo Ngela

Serikali kupitia Kamati ya Mawaziri nane wa Kisekta ikiongozwa na Mhe. Dr. Angeline Mabula (Mb) ambaye pia ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imekutana na wananchi wa vitongoji vya Livambangoma, Wanika, Namaromba na Nambunda wilayani Nanyumbu wanaoishi kwenye hifadhi ya msitu Mbangara na kuwatengenezea mpango wa makazi mapya wananchi hao ili kupisha eneo la hifadhi.

Akizungumza na wananchi hao Mhe. Dr. Mabula amesema kuwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara ikishirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu itaandaa utaratibu mzuri wa kuwagawia maeneo wananchi hao katika vijiji mama yaani Mbangara Mbuyuni na Marumba. Aidha, ameongeza kuwa serikali itahakikisha zoezi hilo linafanyika kwa utulivu na kila mwananchi anatendewa haki.

Katika ziara hiyo Mhe. Mabula aliongozana na  Mhe. Balozi, Dr. Pindi Chana (Mb) Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Abdallah Ulega (Mb) Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Anthony Mavunde (Mb) Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Maryprisca Mahundi (Mb) Naibu Waziri wa Maji na Mhe. Khamis Hamza Khamis (Mb) Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali. Ahmed Abbas Ahmed akizungumza na wanachi hao amesema kuwa Serikali ina mpango mzuri wa matumizi ya ardhi na hivyo kuwataka wananchi kuwa watulivu wakati serikali ikiwaandalia wananchi hao uratatibu wa makazi. Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu Mhe. Marium Chaurembo ameishukuru Serikali chini ya Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassan Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuipatia Nanyumbu Miradi ya maendeleo ikiwemo Mradi wa maji wa mto Ruvuma. Aidha, mbunge wa Jimbo la Nanyumbu Mhe. Yahya Ally Mhata ameiomba Serikali kuendelea kushirikiana na wananchi wa vijiji hivyo kwani wana mchango mkubwa katika shughuli za maendeleo nchini.  


Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Mafunzo ya Waandishi Wasaidizi na Waendeshaji Vifaa vya Bayometriki January 23, 2025
  • Tangazo la Nafasi za Kazi August 09, 2024
  • Tangazo la Majina na Mipaka ya Vijiji na Vitongoji September 16, 2024
  • Maelekezo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 September 26, 2024
  • Ona yote

Habari Mpya

  • Nanyumbu Yang’ara Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025

    May 17, 2025
  • Afisa Mwandikishaji Nanyumbu Awataka Washiriki wa Mafunzo Kuhakikisha Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura Linatekelezwa kwa Ufanisi

    May 14, 2025
  • DC MAGALA AWAASA WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CWT NANYUMBU KUCHAGUA VIONGOZI BORA NA SIO BORA VIONGOZI.

    March 19, 2025
  • KAMATI YA MWENGE MKOA WA MTWARA YAFANYA ZIARA KUKAGUA MAENDELEO YA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE NANYUMBU.

    March 17, 2025
  • Ona yote

Video

Kituo cha mabasi Mangaka
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HUDUMA ZA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • RATIBA YA VIKAO VYA HALMASHAURI
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • UTALII NANYUMBU

Tovuti Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu

    Anwani ya Posta: 246, Masasi

    Simu: 0232934112/3

    Simu za Mikononi:

    Barua Pepe: info@nanyumbudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu. Haki Zote Zimehifadhiwa.