• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Complaints |
Nanyumbu District Council
Nanyumbu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • List of Leaders
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Stategies
  • Administration
    • Muundo
    • Idara
      • Water
      • Kilimo
      • Finance and Accountants
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Orodha ya wagombea walioteuliwa kugombea Udiwani wilayani Nanyumbu

Posted on: August 25th, 2020

Na, Lunanilo L. Ngela

Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata, wamewateuwa wagombea 42 wa udiwani katika Kata 17 za Jimbo la Nanyumbu watakaogombea udiwani katika Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba mwaka huu.

Jumla ya wagombea 45 walichukua fomu wakiwepo wagombea 9 kutoka CUF, 17 CHADEMA, CCM wagombea 17 na wawili  ACT Wazalendo.

Wagombea wafuatao wameteuliwa; Kata ya Mangaka ni Halima Mchoma (CCM) na Omari Maluchila (ACT Wazalendo). Kata ya Kilimanihewa Dadi Twenyuka (CHADEMA), Thabiti Geugeu (CCM) na Rehema Mwatuka (CUF). Kata ya Sengenya Mrera Adam (CHADEMA), Daimu Milanzi (CUF) na Msafiri Kasembe (CCM). Kata ya Likokona Hassan Likonda (CHADEMA) na Joseph Omari (CCM). Kata ya Michiga Ahamadi Malola (CHADEMA), Hashimu Nasiri (CCM), Adinani Mtila (ACT Wazalendo) na Moradi Moradi (CUF). 

Kata ya Lumesule Mohamed Mlunji (CHADEMA), Salum Chuma (CCM) na Ally Nandonde (CUF). Kata ya Napacho Hamis Mnumbe (CHADEMA) na Matindiko Matindiko (CCM). Kata ya Chipuputa Bushiri Nyasa (CHADEMA) na Arabi Rabana (CCM). Kata ya Nanyumbu Hamis Nguku (CHADEMA), Husein Lasi (CCM) na Juma Kambutu (CUF). Kata ya Masuguru Benjamin Masimbo (CCM) na Namatolo Hassan (CUF). Kata ya Mkonona Mbelenje Shaibu (CHADEMA), Msafiri Njaidi (CUF) na Katoto Nyaraka (CCM).

Kata ya Maratani Mohamed Bakari (CHADEMA) na Salum Mmole (CCM). Kata ya Mnanje Athumani A. Chilala (CCM) na Mohammed Daraja (CUF). Kata ya Nandete Habil Kaine (CHADEMA) na Yustus Mmuni (CCM). Kata ya Mikangaula Zena Msanga (CHADEMA), Abdul Chiwila CCM na Shabani Mneke (CUF). Kata ya Kamundi Mlanzi Amandus (CHADEMA), Ali M. Ali (CUF) na Elevan Mussa (CCM) na Kata ya Nangomba Sijaona Makumbi (CCM).

Wagombea wasioteuliwa ni; Star Mamu wa (CHADEMA) Kata ya Mangaka (hajarudisha fomu), Kasimu Mpatia wa (CHADEMA) Kata ya Mnanje (hajarudisha fomu) na Athumani Mlaponi (CHADEMA) Kata ya Nangomba (hajarudisha fomu).

Aidha, Mgombea Sijaona Ajili Makumbi kupitia tiketi ya  Chama Cha Mapinduzi katika Kata ya Nangomba amepita Bila kupingwa.


Matangazo

  • Tangazo la Kazi za Muda za MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 May 06, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA NANYUMBU July 02, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • MWAKA MMOJA WA MKUU WA WILAYA NANYUMBU

    June 21, 2022
  • NANYUMBU KUTOA KIDATO CHA SITA kwa Mara ya Kwanza toka Uhuru

    May 06, 2022
  • Tumehitimisha MAADHIMISHO ya Muungano kwa Bonanza la NANYUMBU

    April 27, 2022
  • NANYUMBU YANUNUA LORI LA KIMKAKATI

    April 13, 2022
  • Ona yote

Video

Utalii wa ndani Nanyumbu
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • miongozo

Tovuti Mashuhuri

  • Public Service Management
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu

    Anwani ya Posta: 246, Masasi

    Simu: 0232934112/3

    Simu za Mikononi:

    Barua Pepe: info@nanyumbudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 Nanyumbu Distict Council . All rights reserved.