• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Nanyumbu District Council
Nanyumbu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
    • Maadili ya Msingi
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo
    • Divisheni
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Industry, Trade and Investments
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Planning and Coordination
      • Human Resource Management and Administration
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Natural Resources and Environment Conservation
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Biashara
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Information and Communication Technology
      • Government Communication
    • Wards
      • Chipuputa
      • Mangaka
      • Kilimanihewa
      • Sengenya
      • Kamundi
      • Maratani
      • Nandete
      • Nanyumbu
      • Mkonona
      • Masuguru
      • Likokona
      • Michiga
      • Napacho
      • Lumesule
      • Mnanje
      • Mikangaula
      • Nangomba
    • Villages
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Utalii
      • Hifadhi ya Wanyama ya Lukwika Lumesule
      • Daraja la Mtambaswala
      • Sehemu za Kiutamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
    • Elimu
      • Ujenzi wa Vyuo Vikuu
      • Ujenzi wa Vyuo vya Kati
      • Ujenzi wa Shule Binafsi
    • Maeneo ya Viwanda
    • Ujenzi wa Mahoteli
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Watumishi
    • Ujasiriamali
    • Biashara
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango (FUM)
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma

Nanyumbu yapewa zaidi ya Bilioni 80 kutekeleza mradi wa maji Mto Ruvuma

Posted on: October 26th, 2020

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Nanyumbu


 Na, Lunanilo L. Ngela

Katika mkutano uliofanyika viwanja vya mabasi Mjini Mangaka, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa amewaeleza wananchi wa Nanyumbu juu ya Mradi mkubwa wa maji wa mto Ruvuma uliotengewa zaidi ya shilingi Bilioni 80 ili kusambaza maji wilayani humo.

Mradi huo ambao ni utekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi unatarajia kuanza mapema mwezi Novemba na tayari mkandarasi amekwishapatikana na usanifu wa mradi umekamilika.

Waziri Mkuu amesema nia ya Serikali ni kumtua mwanamke ndoo. Aidha, ameongeza kuwa kampeni ya kumtua mwanamke ndoo haitaishia vijijini na mijini tuu bali sasa inakwenda mpaka ngazi ya vitongoji na visiwa.

Akizungumzia suala la miundombinu ya usafiri Mhe. Kassim Majaliwa amesema katika kipindi cha 2020-2025 Serikali itajenga reli ya kisasa toka Mtwara mpaka Mbamba Bay Ruvuma ikipitia wilayani Nanyumbu. Aidha, Barabara ya Nanyumbu - Nachingwea mpaka Morogoro pamoja na barabara za lami mjini Mangaka zitajengwa katika kipindi hicho ili kuendelea kurahisisha huduma za usafiri.

Waziri Mkuu akizungumzia suala ka korosho amesema Serikali itaendelea kuhakikisha wakulima wanauza korosho zao kwa mfumo wa stakabadhi ghalani ili kumsaidia mkulima kupata bei nzuri na kutodhurumiwa na wafanyabiashara. Aidha, ametoa maelekezo kuwa mkulima au mfanyabiashara asikatwe unyaufu kwani korosho inanyauka baada ya miezi sita.

Akizunguzia suala la Elimu amesema katika kipindi cha 2020-2025 Serikali itajenga mabweni kwa shule zote za sekondari za Serikali ili kuwawezesha wanafunzi kusoma katika mazingira tulivu.

Ndugu Majaliwa Kassim Majaliwa (MNEC) ameomba kura za ndiyo kwa mgombea wa kiti cha urais Ndg. John Pombe Magufuli kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi pamoja na wagombea ubunge na udiwani wa chama hicho. Aidha, Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani utakaofanyika Tarehe 28/10/2020 nchini pote na hivyo amewakumbusha wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura


Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Mafunzo ya Waandishi Wasaidizi na Waendeshaji Vifaa vya Bayometriki January 23, 2025
  • Tangazo la Nafasi za Kazi August 09, 2024
  • Tangazo la Majina na Mipaka ya Vijiji na Vitongoji September 16, 2024
  • Maelekezo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 September 26, 2024
  • Ona yote

Habari Mpya

  • Nanyumbu Yang’ara Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025

    May 17, 2025
  • Afisa Mwandikishaji Nanyumbu Awataka Washiriki wa Mafunzo Kuhakikisha Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura Linatekelezwa kwa Ufanisi

    May 14, 2025
  • DC MAGALA AWAASA WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CWT NANYUMBU KUCHAGUA VIONGOZI BORA NA SIO BORA VIONGOZI.

    March 19, 2025
  • KAMATI YA MWENGE MKOA WA MTWARA YAFANYA ZIARA KUKAGUA MAENDELEO YA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE NANYUMBU.

    March 17, 2025
  • Ona yote

Video

Kituo cha mabasi Mangaka
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HUDUMA ZA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • RATIBA YA VIKAO VYA HALMASHAURI
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • UTALII NANYUMBU

Tovuti Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu

    Anwani ya Posta: 246, Masasi

    Simu: 0232934112/3

    Simu za Mikononi:

    Barua Pepe: info@nanyumbudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu. Haki Zote Zimehifadhiwa.