• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Complaints |
Nanyumbu District Council
Nanyumbu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • List of Leaders
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Stategies
  • Administration
    • Muundo
    • Idara
      • Water
      • Kilimo
      • Finance and Accountants
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Nanyumbu kujenga mnada wa mifugo

Posted on: September 16th, 2020

Afisa Mifugo na Uvuvi wa Wilaya ya Nanyumbu Ndg. Mashaka Mfaule (kulia) akifuatilia shughuli za ujenzi wa mnada wa mifugo.


Na, Lunanilo L. Ngela

Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu inatekeleza mradi wa Ujenzi wa Mnada wa Mifugo katika kijiji cha Nanyumbu wilayani humo. Mnada huo ambao ujenzi wake unaendelea, utatumika kwa ajili ya biashara ya mifugo mbalimbali ndani na nje ya Wilaya hiyo.

Afisa Mifugo wa Wilaya ya Nanyumbu Ndg. Mashaka Mfaume amesema kuwa, Halmashauri imetenga eneo hilo lenye ukubwa wa ekari kumi kwa ajili ya mnada huo. Aidha, Afisa huyo amesema mnada huo utawawezesha wafugaji kupata soko la uhakika la mifugo yao.

Ujenzi wa mnada huo unafanywa katika kijiji cha Nanyumbu pembezoni mwa barabara ya lami inayotoka Jamhuri ya watu wa Msumbiji kwenda Mji wa Mangaka mpaka Dar es Salaam na Songea mkoani Ruvuma.


Matangazo

  • Tangazo la Kazi za Muda za MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 May 06, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA NANYUMBU July 02, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • MWAKA MMOJA WA MKUU WA WILAYA NANYUMBU

    June 21, 2022
  • NANYUMBU KUTOA KIDATO CHA SITA kwa Mara ya Kwanza toka Uhuru

    May 06, 2022
  • Tumehitimisha MAADHIMISHO ya Muungano kwa Bonanza la NANYUMBU

    April 27, 2022
  • NANYUMBU YANUNUA LORI LA KIMKAKATI

    April 13, 2022
  • Ona yote

Video

Utalii wa ndani Nanyumbu
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • miongozo

Tovuti Mashuhuri

  • Public Service Management
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu

    Anwani ya Posta: 246, Masasi

    Simu: 0232934112/3

    Simu za Mikononi:

    Barua Pepe: info@nanyumbudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 Nanyumbu Distict Council . All rights reserved.