• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Complaints |
Nanyumbu District Council
Nanyumbu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • List of Leaders
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Stategies
  • Administration
    • Muundo
    • Idara
      • Water
      • Kilimo
      • Finance and Accountants
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkuu wa Wilaya Nanyumbu asisitiza wananchi kuzalisha mazao mchanganyiko

Posted on: December 20th, 2022

Katika picha ni Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu Mhe. Marium Khatibu Chaurembo

Na, Lunanilo Ngela

Wananchi wa Wilaya ya Nanyumbu wameshauriwa kulima mazao ya chakula na biashara kwa kuzingatia kanuni za kilimo bora ikiwemo matumizi ya mbegu bora, mbolea na viuatilifu vya kudhibiti magonjwa na wadudu wanaoharibu mazao.

Maelekezo hayo yametolewa na Mkuu wa Wilaya Mhe. Marium Chaurembo wakati akizungumza na Maafisa kilimo na watendaji ngazi ya kata na vijiji ikiwa ni sehemu ya mkakati maalum wa kuhamasisha uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara pamoja na ufugaji ili kuongeza pato la mwananchi.

Mkuu Wilaya amewaagiza maafisa kilimo na mifugo kutengeneza ratiba ya utoaji chanjo ya mifugo kama kuku ili kuepusha mifugo hiyo kufa ikiwa ni pamoja na kutoa elimu kwa wananchi juu ya ufugaji wa kisasa.

Wananchi wamesisitizwa kuandaa mashamba mapema kwa ajili ya kilimo, kupanda mbegu bora kwa kuzingatia mistari na nafasi sahihi, kufanya palizi na kuvuna kwa wakati. Aidha, Mhe. Chaurembo amewataka wananchi kulima pia mazao yanayohimili ukame au mvua kidogo ili kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa.

      

Matangazo

  • Tangazo la Kazi za Muda za MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 May 06, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA NANYUMBU July 02, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • Baraza la Madiwani lapokea na kujadili Taarifa ya Maendeleo ya Kata 17 Nanyumbu

    January 26, 2023
  • Tarifa kwa Umma

    January 25, 2023
  • Tarifa kwa Umma

    January 25, 2023
  • Serikali yatatua mgogoro hifadhi ya msitu Mbangara wilayani Nanyumbu

    December 28, 2022
  • Ona yote

Video

Utalii wa ndani Nanyumbu
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • miongozo

Tovuti Mashuhuri

  • Public Service Management
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu

    Anwani ya Posta: 246, Masasi

    Simu: 0232934112/3

    Simu za Mikononi:

    Barua Pepe: info@nanyumbudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 Nanyumbu Distict Council . All rights reserved.