• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Nanyumbu District Council
Nanyumbu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
    • Maadili ya Msingi
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo
    • Divisheni
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Industry, Trade and Investments
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Planning and Coordination
      • Human Resource Management and Administration
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Natural Resources and Environment Conservation
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Biashara
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Information and Communication Technology
      • Government Communication
    • Wards
      • Chipuputa
      • Mangaka
      • Kilimanihewa
      • Sengenya
      • Kamundi
      • Maratani
      • Nandete
      • Nanyumbu
      • Mkonona
      • Masuguru
      • Likokona
      • Michiga
      • Napacho
      • Lumesule
      • Mnanje
      • Mikangaula
      • Nangomba
    • Villages
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Utalii
      • Hifadhi ya Wanyama ya Lukwika Lumesule
      • Daraja la Mtambaswala
      • Sehemu za Kiutamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
    • Elimu
      • Ujenzi wa Vyuo Vikuu
      • Ujenzi wa Vyuo vya Kati
      • Ujenzi wa Shule Binafsi
    • Maeneo ya Viwanda
    • Ujenzi wa Mahoteli
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Watumishi
    • Ujasiriamali
    • Biashara
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango (FUM)
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara atekeleza agizo la Rais Samia Kijiji cha Mikuva

Posted on: September 19th, 2023

Kanali Ahamed Abbas Ahmed Mkuu wa Mkoa wa Mtwara akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mikuva

Na, Lunanilo Ngela

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Ahamed Abbas Ahmed amekutana na wananchi wa Kijiji cha Mikuva mapema leo Septemba 19, 2023 katika mkutano wa hadhara uliofanyika zahanati ya Mikuva ili kusikiliza na kupokea kero na changamoto zinazowakabili wananchi hao.

Mkutano huo ni utekelezaji wa agizo lililotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, alipotembelea Wilaya ya Nanyumbu Septemba 17, 2023 na kuletewa ombi la wananchi hao lililowasilishwa na Mbunge wa Jimbo la Nanyumbu Mhe. Yahya Ally Mhata juu ya ahadi ya ujenzi wa Kituo cha Afya inadaiwa kutolewa na aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili Mhe. Ali Hassan Mwinyi mwaka 1988, wakati Kijiji hicho kikiwa ndani ya Wilaya ya Masasi.

Ahadi hiyo inadaiwa kutolewa takribani miaka 17 kabla ya Wilaya ya Nanyumbu kuanzishwa na kutangazwa rasmi kuwa Wilaya Julai 29, 2005 na aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tatu Hayati Benjamin William Mkapa na baadae Halmashauri kuanzishwa na kutangazwa Julai 01, 2007 katika Gazeti la Serikali Na. 190.

Wananchi hao wa Kijiji cha Mikuva kilichopo Kata ya Mnanje ambayo ina Kituo kingine cha Afya takribani Kilomita 6 kutoka kijijini kwao, wamemweleza Mkuu wa Mkoa kuwa kiu yao ni Kutapa Kituo cha Afya.

Katika mkutano huo Mkuu wa Mkoa aliambatana na watendaji mbalimbali wa Serikali na Chama ngazi ya Mkoa na Wilaya akiwepo Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mtwara Ndg. Said Nyengedi ambaye amewaeleza wananchi hao namna Rais Samia anavyopambana kuhakikisha wananchi wanapata maendeleo.

Wananchi wa Kijiji cha Mikuva wamemshukuru Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu na watendaji wa Chama na Serikali kwa kufanikisha Mkutano huo. Aidha, wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapa nafasi wananchi hao ya kutoa Mawazo yao.

Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu Mhe. Mariam Khatibu Chaurembo akizungumza na wananchi wa kijiji cha Mikuva

Katika picha ni baadhi ya wananchi wakiwasilisha changamoto zao kwa Mkuu wa Mkoa


Katika picha ni baadhi ya wananchi wakiwasilisha changamoto zao kwa Mkuu wa Mkoa

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Mafunzo ya Waandishi Wasaidizi na Waendeshaji Vifaa vya Bayometriki January 23, 2025
  • Tangazo la Nafasi za Kazi August 09, 2024
  • Tangazo la Majina na Mipaka ya Vijiji na Vitongoji September 16, 2024
  • Maelekezo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 September 26, 2024
  • Ona yote

Habari Mpya

  • Nanyumbu Yang’ara Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025

    May 17, 2025
  • Afisa Mwandikishaji Nanyumbu Awataka Washiriki wa Mafunzo Kuhakikisha Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura Linatekelezwa kwa Ufanisi

    May 14, 2025
  • DC MAGALA AWAASA WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CWT NANYUMBU KUCHAGUA VIONGOZI BORA NA SIO BORA VIONGOZI.

    March 19, 2025
  • KAMATI YA MWENGE MKOA WA MTWARA YAFANYA ZIARA KUKAGUA MAENDELEO YA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE NANYUMBU.

    March 17, 2025
  • Ona yote

Video

Kituo cha mabasi Mangaka
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HUDUMA ZA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • RATIBA YA VIKAO VYA HALMASHAURI
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • UTALII NANYUMBU

Tovuti Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu

    Anwani ya Posta: 246, Masasi

    Simu: 0232934112/3

    Simu za Mikononi:

    Barua Pepe: info@nanyumbudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu. Haki Zote Zimehifadhiwa.