• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Nanyumbu District Council
Nanyumbu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
    • Maadili ya Msingi
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo
    • Divisheni
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Industry, Trade and Investments
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Planning and Coordination
      • Human Resource Management and Administration
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Natural Resources and Environment Conservation
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Biashara
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Information and Communication Technology
      • Government Communication
    • Wards
      • Chipuputa
      • Mangaka
      • Kilimanihewa
      • Sengenya
      • Kamundi
      • Maratani
      • Nandete
      • Nanyumbu
      • Mkonona
      • Masuguru
      • Likokona
      • Michiga
      • Napacho
      • Lumesule
      • Mnanje
      • Mikangaula
      • Nangomba
    • Villages
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Utalii
      • Hifadhi ya Wanyama ya Lukwika Lumesule
      • Daraja la Mtambaswala
      • Sehemu za Kiutamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
    • Elimu
      • Ujenzi wa Vyuo Vikuu
      • Ujenzi wa Vyuo vya Kati
      • Ujenzi wa Shule Binafsi
    • Maeneo ya Viwanda
    • Ujenzi wa Mahoteli
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Watumishi
    • Ujasiriamali
    • Biashara
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango (FUM)
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma

Katibu tawala wa mkoa wa mtwara awataka tehama na maafisa mawasiliano wa serikali kuzingatia miiko na maadili ya taaluma zao.

Posted on: March 21st, 2017

 Tuesday, March 21, 2017 

Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Alfred Luanda amewaagiza na Kuwataka Maafisa Tehama na Habari na Kufanya kazi kwa kuzingatia Miiko na Maadili ya Taaluma yanayoelekeza utoaji wa taarifa na matukio ya shughuli na miradi mbalimbali inayotekelezwa katika maeneo yao ili kuhabarisha umma kupitia taarifa sahihi.    

Katibu Tawala Luanda,ameeleza hayo wakati akifungua Mafunzo ya Uanzishaji na Uendeshaji wa Tovuti kwa Maafisa Tehama na Maafisa Mawasiliano wa ngazi za Mamlaka za Serikali za Mitaa za Mikoa,Halmashauri za Manispaa,Miji na Wilaya kwa taasisi hizo za Mikoa ya Kisini ya Mtwara,Ruvuma na Lindi yatakayofanyika kwa Wiki nzima kuanzia Leo,katika Ukumbi wa Mikutano wa Tiffany Diamond Hotel Mjini Mtwara.  

Luanda,amesema ni vyema Maafisa Habari na Tehama kuzingatia Maadili na Miiko ya Taaluma ya Habari katika masuala ya utoaji wa taarifa zilizo sahihi na zilizochungwa kutoka katika Mamlaka husika na chanzo cha kuaminika kwa lengo la kuwatarifu wananchi kuhusu Shughuli na Miradi mbalimbali ya Maendeleo inayofanyika pamoja na matukio yoyote yanayofanyika katika Halmashauri zao na kuyatangaza kupitia Tovuti na Mitandao mbalimbali ya Kijamii na Vyombo vya Habari.

Amewaeleza na kuwasihi kujituma na kuwa Wabunifu katika utoaji wa Habari kupitia taarifa na matukio mbalimbali kwa kutumia kikamilifu vitendea kazi vilivyopo,"naomba mjitahidi sana kutoa taarifa kwa nyakati hizi za ukuaji wa Teknolojia hususan matumizi ya simu za Viganjani ama Mkononi ambazo zina uwezo wa kupiga picha nzuri za Mnato na Video zenye ubora na kuzirusha katika mitandao ya jamii"

.Alifafanua na kisisitiza Alfred Luanda.Awali akitoa Maelezo ya Utangulizi kuhusiana na Zoezi zima la Mafunzo ya Tovuti kwa Maafisa Habari na Maafisa Tehama,Kiongozi wa Mafunzo haya kwa Mikoa ya Kanda ya Kusini,Edgar Mdemu ambaye na Afisa Tehama wa Mkoa wa Simiyu alisema Mafunzo ni muhimu sana kwa Maafisa Tehama na Habari ili kuziwezesha Tovuti zote za taasis husika kufanya kazi na kuwa na taarifa za kutosha ikiwemo taarifa na habari mpya za kila siku.

Alifafanua na kueleza kuhusu lengo la Serikali kuimarisha na  kuboresha mifumo ya mawasiliano ya sekta za Umma kupitia ufadhili wa mradi wa Wamarekani USAID Ps3 kwa kwa ushirikiano na Tanzania,kwa uratibu na usimamizi wa Wakala wa Serikali Mtandao na Tamisemi,kwa lengo na madhumuni makubwa ya kuhakikisha kila taasis katika Mamlaka za Serikali za Mitaa inakuwa na Tovuti iliyohai.

Mdemu alieleza pia kwamba Mafunzo haya yanatolewa katika mgawanyo wa Kanda tank ( 5) Mikoa Kanda ya kati ya Dodoma ,Mikoa ya Kanda ya Morogoro,Mbeya na Kanda ya Kigoma,ambapo Mikoa ya Kanda ya Ziwa ya Simiyu,Mwanza,Mara,Kagera na Shinyanga zimeshafanya Mafunzo haya kwa Maafisa Tehama na Habari na Tovuti za Halmashauri na Mikoa hiyo zimekwishazinduliwa na zinafanyanya kazi kikamilifu.





Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Mafunzo ya Waandishi Wasaidizi na Waendeshaji Vifaa vya Bayometriki January 23, 2025
  • Tangazo la Nafasi za Kazi August 09, 2024
  • Tangazo la Majina na Mipaka ya Vijiji na Vitongoji September 16, 2024
  • Maelekezo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 September 26, 2024
  • Ona yote

Habari Mpya

  • Nanyumbu Yang’ara Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025

    May 17, 2025
  • Afisa Mwandikishaji Nanyumbu Awataka Washiriki wa Mafunzo Kuhakikisha Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura Linatekelezwa kwa Ufanisi

    May 14, 2025
  • DC MAGALA AWAASA WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CWT NANYUMBU KUCHAGUA VIONGOZI BORA NA SIO BORA VIONGOZI.

    March 19, 2025
  • KAMATI YA MWENGE MKOA WA MTWARA YAFANYA ZIARA KUKAGUA MAENDELEO YA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE NANYUMBU.

    March 17, 2025
  • Ona yote

Video

Kituo cha mabasi Mangaka
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HUDUMA ZA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • RATIBA YA VIKAO VYA HALMASHAURI
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • UTALII NANYUMBU

Tovuti Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu

    Anwani ya Posta: 246, Masasi

    Simu: 0232934112/3

    Simu za Mikononi:

    Barua Pepe: info@nanyumbudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu. Haki Zote Zimehifadhiwa.