• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Nanyumbu District Council
Nanyumbu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
    • Maadili ya Msingi
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo
    • Divisheni
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Industry, Trade and Investments
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Planning and Coordination
      • Human Resource Management and Administration
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Natural Resources and Environment Conservation
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Biashara
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Information and Communication Technology
      • Government Communication
    • Wards
      • Chipuputa
      • Mangaka
      • Kilimanihewa
      • Sengenya
      • Kamundi
      • Maratani
      • Nandete
      • Nanyumbu
      • Mkonona
      • Masuguru
      • Likokona
      • Michiga
      • Napacho
      • Lumesule
      • Mnanje
      • Mikangaula
      • Nangomba
    • Villages
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Utalii
      • Hifadhi ya Wanyama ya Lukwika Lumesule
      • Daraja la Mtambaswala
      • Sehemu za Kiutamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
    • Elimu
      • Ujenzi wa Vyuo Vikuu
      • Ujenzi wa Vyuo vya Kati
      • Ujenzi wa Shule Binafsi
    • Maeneo ya Viwanda
    • Ujenzi wa Mahoteli
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Watumishi
    • Ujasiriamali
    • Biashara
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango (FUM)
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma

JWTZ yasaidia ujenzi wa shule Nanyumbu.

Posted on: September 2nd, 2017

JWTZ yasaidia ujenzi wa shule Nanyumbu.

Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa msaada wa vifaa vya ujenzi kwa Shule ya Msingi Michiga B iliyoko kata ya Michiga wilayani Nayumbu. Misaada iliyotolewa ni mifuko 200 ya saruji, mabati 100, Nondo 50 na shilingi 400,000 ambazo zitasaidia katika gharama za mchanga wa kujengea.

Akizungumza jana wakati wa kutoa msaada huo katika zoezi lililofanyika uwanja wa shule hiyo, Brigedia Jenerali wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Brigedi ya Kusini, George Msongole amesema Jeshi limeguswa kutoa msaada huo kutokana na ukweli kuwa elimu ni moja ya njia kuu za ukombozi kwa mwananchi. Amesema aliahidi kutoa msaada huo mwanzoni mwa mwaka huu hatimaye ameamua kukamilisha ahadi.

Licha ya kutoa msaada huo Brigedia Msongole amesema jeshi litaendea kuwa karibu na shughuli nzima ya ujenzi wa shule hiyo na kwamba wameamua kumuweka mwakilishi wao mmoja ili kusimamia na kuhakikisha lengo lililokusudiwa linafikiwa.

Brigedia Msongole amesema jeshi la wananchi wa Tanzania limekuwepo kwa miaka 53 ambapo jana Septemba 1, lilikuwa likisherekea siku yake ya kuzaliwa na kwamba hiyo ni moja ya sababu kubwa ya kuunganisha sherehe za kuzaliwa kwa jeshi hilo na tukio la kukabidhi msaada huo.

Msongole ambaye juzi aliongoza maandamano kisha hafla fupi katika uwanja wa Mashujaa ulioko Mjini Mtwara ikiwa ni kukumbuka kuanzishwa kwa jeshi hilo miaka 53 iliyopita amesema anajivunia kuwepo kwenye mikoa ya kusini, hasa kutokana na ushirikiano mkubwa anaoupata toka kwa vipongozi wa mikoa ya Kusini. Amesema tangu amekuwepo hapa Mtwara amejifunza mengi hasa mshikamano mkubwa ulioko kwa wananchi wa mkoa wa Mtwara.

Awali akisoma taarifa ya shule hiyo Mtendaji wa kijiji hicho Penina Frank Monjesa amesema ujenzi wa Shule hiyo ulitarajiwa kugharim shilinig 160,422,500 lakini kutokana na kujitolea wananchi katika kutumia nguvu zao, gharama zinatarajiwa kupungua hadi kufikia shilingi 80,000,000.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Halima Dendego ameshukuru Jeshi la wananchi wa Tanzania kwa kuona umuhimu wa kusaidia ujenzi wa shule hiyo. Pia amekishukuru chombo cha habari cha Cloudz TV kupitia kipindi chao cha ‘Jicho la Mwewe’ kwa kuibua changamoto ya shule hiyo. Amesema chombo hicho kilitoa taarifa ya jinsi shule hiyo na changamoto kubwa ya utoaji wa elimu, wanafunzi walivyokuwa wakisomea kwenye mabanda ya nyasi jambo ambalo lililiibua hisia kwa jamii hatimaye makundi mbalimbali ya kijamii kujitokeza kusaidia ujenzi.

Aidha amemtaka mkuu wa Wilaya kuhakikisha anasimamia ujenzii huo ili ukamilike kwa haraka.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Mafunzo ya Waandishi Wasaidizi na Waendeshaji Vifaa vya Bayometriki January 23, 2025
  • Tangazo la Nafasi za Kazi August 09, 2024
  • Tangazo la Majina na Mipaka ya Vijiji na Vitongoji September 16, 2024
  • Maelekezo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 September 26, 2024
  • Ona yote

Habari Mpya

  • Nanyumbu Yang’ara Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025

    May 17, 2025
  • Afisa Mwandikishaji Nanyumbu Awataka Washiriki wa Mafunzo Kuhakikisha Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura Linatekelezwa kwa Ufanisi

    May 14, 2025
  • DC MAGALA AWAASA WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CWT NANYUMBU KUCHAGUA VIONGOZI BORA NA SIO BORA VIONGOZI.

    March 19, 2025
  • KAMATI YA MWENGE MKOA WA MTWARA YAFANYA ZIARA KUKAGUA MAENDELEO YA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE NANYUMBU.

    March 17, 2025
  • Ona yote

Video

Kituo cha mabasi Mangaka
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HUDUMA ZA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • RATIBA YA VIKAO VYA HALMASHAURI
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • UTALII NANYUMBU

Tovuti Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu

    Anwani ya Posta: 246, Masasi

    Simu: 0232934112/3

    Simu za Mikononi:

    Barua Pepe: info@nanyumbudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu. Haki Zote Zimehifadhiwa.