• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Complaints |
Nanyumbu District Council
Nanyumbu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • List of Leaders
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Stategies
  • Administration
    • Muundo
    • Idara
      • Water
      • Kilimo
      • Finance and Accountants
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wagombea Ubunge Jimbo la Nanyumbu kurudisha fomu

Posted on: July 17th, 2020

Na, Lunanilo L. Ngela

Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani nchini Tanzania, wagombea ubunge 17 wa Jimbo la Nanyumbu kupitia Chama Cha Mapinduzi waliochukua fomu wamezirejesha ili kuwania ubunge katika uchaguzi huo utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu.

Wagombea hao waliorudisha fomu mpaka leo ni pamoja na Ndg. Hussein Omari, Ndg. Andrew John Napacho, Ndg. Kasembe Haridi Kasembe, Ndg. Ahmed T. Malagano, Ndg. Charles M. Mlaponi, Ndg. Chibwana G. Mlimbe, Ndg. Abdallah B. Nassoro, Ndg. Yahya Ally Mhata, Ndg. Dua W. Nkurua, Ndg. Christopher E. Ndizi, Ndg. Willium Kayombo, Ndg. Vumi Y. Namaha, Ndg. Paul M. Milanzi, Ndg. Dunstani D. Mkapa, Ndg. Joseph R. Mlekoni, Ndg. Wema H. Issa na Ndg. Hassan Issa Chiwanje.

Kaimu Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Nanyumbu Bi. Fatuma Mshihiri amesema kuwa, idadi ya wagombea ubunge kwa mwaka 2020 imeongezeka sana ikilinganishwa na miaka mingine. Ongezeko hilo linatokana na kukua kwa demokrasia ikiwa ni pamoja na hamasa kubwa ya wananchi waliyopata katika kushiriki kikamilifu uchaguzi mkuu.


Matangazo

  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA KWA MWAKA WA MASOMO 2021/2021 SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA NANYUMBU December 20, 2020
  • Ona yote

Habari Mpya

  • Nanyumbu yanunua meza na viti kwa ajili ya wanafunzi wa sekondari watakaoanza Januari Mwakani

    December 10, 2020
  • Nanyumbu yapewa zaidi ya Bilioni 80 kutekeleza mradi wa maji Mto Ruvuma

    October 26, 2020
  • Wakulima Nanyumbu wahamasishwa kujiunga na Mfuko wa Bima ya Afya

    September 18, 2020
  • Nanyumbu kujenga mnada wa mifugo

    September 16, 2020
  • Ona yote

Video

Utalii wa ndani Nanyumbu
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • miongozo

Tovuti Mashuhuri

  • Public Service Management
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu

    Anwani ya Posta: 246, Masasi

    Simu: 0232934112/3

    Simu za Mikononi:

    Barua Pepe: info@nanyumbudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 Nanyumbu Distict Council . All rights reserved.