• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Complaints |
Nanyumbu District Council
Nanyumbu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • List of Leaders
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Stategies
  • Administration
    • Muundo
    • Idara
      • Water
      • Kilimo
      • Finance and Accountants
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wakulima Nanyumbu wahamasishwa kujiunga na Mfuko wa Bima ya Afya

Posted on: September 18th, 2020

Meneja wa Bima ya Afya wa Mkoa wa Mtwara Dr. Adolf Kahamba akizungumza na viongozi wa Vyama vya Msingi vya Ushirika


Na, Lunanilo L. Ngela

Akizungumza na viongozi hao Dr. Adolf  Kahamba amewaeleza juu ya mpango wa Ushirika Afya ulioanzishwa na mfuko wa wanachama wa vyama vya msingi vya ushirika wa mazao matano ya kimkakati ikiwemo pamba, kahawa, chai, korosho na tumbaku.

Mpango huo unatoa fursa kwa mkulima kujisajili katika mfuko wa Bima ya Afya kupitia chama chake cha msingi cha ushirika. Mkulima atajisajili kwa shilingi 76,800 tuu na kunufaika na huduma ya watu sita kwa mwaka mzima huku wakipata matibabu katika vituo zaidi ya 6,000 vilivyosajiliwa na mfuko nchi nzima. Aidha, mwanachama akitaka kuwasajili watoto chini ya miaka 18 atalipa shilingi 50,400 tuu.

Meneja huyo akizungumzia mafao yatolewayo kwa wanachama wa Bima (NHIF) kupitia mpango wa Ushirika Afya amesema, mafao hayo yanahusisha gharama za kujiandikisha na kumwona daktari, dawa zote mhimu zilizoidhinishwa na Serikali, vipimo vidogo na vikubwa, kulazwa, upasuaji mdogo na mkubwa, matibabu ya kinywa na meno, matibabu ya macho pamoja na miwani ya kusomea, mazoezi ya kimatibabu ya viungo (physiotherapy) na vifaa saidizi kama mangongo na vishikizi vya shingo.

Viongozi wa vyama vya msingi vya ushirika wametoa shukrani zao kwa Serikali kwa kujumuishwa katika mfuko wa Bima ya Afya kupitia mpango wa Ushirika Afya. Aidha, wameshauri maboresho yafanyike kwa kuandaa utaratibu kupitia teknolojia ya mawasiliano utakaomtaarifu mwanachama juu ya ukomo wa kadi yake ikiwa ni pamoja na kutengenezwa utaratibu rahisi wa kulipia (control number) pindi kadi ikiisha muda ili mwanachama aweze kulipia akiwa sehemu yeyote.  

  

Matangazo

  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA KWA MWAKA WA MASOMO 2021/2021 SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA NANYUMBU December 20, 2020
  • Ona yote

Habari Mpya

  • Nanyumbu yanunua meza na viti kwa ajili ya wanafunzi wa sekondari watakaoanza Januari Mwakani

    December 10, 2020
  • Nanyumbu yapewa zaidi ya Bilioni 80 kutekeleza mradi wa maji Mto Ruvuma

    October 26, 2020
  • Wakulima Nanyumbu wahamasishwa kujiunga na Mfuko wa Bima ya Afya

    September 18, 2020
  • Nanyumbu kujenga mnada wa mifugo

    September 16, 2020
  • Ona yote

Video

Utalii wa ndani Nanyumbu
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • miongozo

Tovuti Mashuhuri

  • Public Service Management
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu

    Anwani ya Posta: 246, Masasi

    Simu: 0232934112/3

    Simu za Mikononi:

    Barua Pepe: info@nanyumbudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 Nanyumbu Distict Council . All rights reserved.