• Contact us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Nanyumbu District Council
Nanyumbu District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Nanyumbu District Council

  • Home
  • About Us
    • History
      • List of Leaders
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Stategies
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Maji
      • Kilimo
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Hearth
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

VIKUNDI VYA VIJANA VYATAKIWA KUPEWA ELIMU ILI VIWEZE KUWA IMARA ZAIDI

Posted on: May 12th, 2017

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa uhuru kitaifa ndg Amour Hamad Amour amewataka watendaji kutoa elimu kwa vikundi vya wanawake na Vijana ili viweze kuendelea mbele na kupata faida katika uzalishaji wa mali na kujikwamua kiuchumi. Hayo aliyasema wakati akikagua vikundi vya Wanawake na Vijana na kutaka kutengwa kwa asilimia kidogo kati ya asilimia 5 pesa ambayo inatolewa na halmashauri  ili zitumike katika kutoa elimu kwa vijana pamoja na kuibua miradi ambayo itaweza kuwaendeleza kabla ya kupata mikopo ili wajue namna nzuri ya matumizi ya faida wanayoipata kutokana na Mikopo hiyo.

Announcements

  • FORM FOUR NATIONAL RESULTS 2017 January 31, 2018
  • HARAMBEE UJENZI WA ZAHANATI YA LUMESULE April 01, 2018
  • View All

Latest News

  • Chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi kuanza leo Wilaya ya Nanyumbu

    April 23, 2018
  • Waziri wa Kilimo na Mifugo amtumbuwa Mkurugenzi wa Bodi ya Korosho

    April 22, 2018
  • Nanyumbu yadhamiria kumaliza kabisa tatizo la uhaba wa miundombinu ya Shule

    April 20, 2018
  • Wananchi wakumbushwa kujikinga dhidi ya UKIMWI

    April 17, 2018
  • View All

Video

KAULIMBIU MAONESHO NANENANE 2017
More Videos

Quick Links

  • miongozo

Related Links

  • Public Service Management
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

World visitors tracker

world map hits counter

Contact us

    Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu

    Postal Address: 246, Masasi

    Telephone: 0232934112/3

    Mobile:

    Email: info@nanyumbu.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

dissertation-writingservice.com

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Nanyumbu Distict Council . All rights reserved.