• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Complaints |
Nanyumbu District Council
Nanyumbu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • List of Leaders
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Stategies
  • Administration
    • Muundo
    • Idara
      • Water
      • Kilimo
      • Finance and Accountants
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Ujenzi wa miundombinu ya Tarafa Nakopi waanza rasmi

Posted on: June 29th, 2018

Katibu Tawala wa Wilaya ya Nanyumbu Ndugu Salum A. Palango akizungumza na wananchi wa kijiji cha Nakopi mara baada ya kukagua maeneo ambako ujenzi wa Ofisi ya Tarafa pamoja na nyumba ya Afisa Tarafa vitajengwa. Katibu Tawala ambaye alipokelewa na Diwani wa Kata ya Napacho Mh. Mary Mchopa amesema kuwa ujenzi wa miundombinu hiyo ya Tarafa unatarajia kukamilika mapema mwaka huu. Aidha, Katibu Tawala ameishukuru sana Serikali inayoongozwa na Rais wa awamu ya tano Mh. Dr John Pombe Magufuli kwa kuratibu na kusimamia ujenzi wa miundombinu mabalimbali vijijini na mijini ili kuharakisha maendeleo.

Diwani wa Kata ya Napacho Mh. Mary Mchopa pamoja na shukrani zake za pekee kwa Serikali pia amewaomba wananchi wa kata ya Napacho kuhakikisha wanashirikiana bega kwa bega katika ujenzi huo wa miundombinu ya Tarafa. Mheshimiwa Diwani pia ameishukuru Ofisi ya Mkuu wa Wilaya kwa kuupeleka mradi huu katika kata ya Nakopi. Kata ya Nakopi ndio kata pekee kwa sasa ambayo ujenzi huu wa Ofisi ya kisasa na nyumba bora ya Afisa Tarafa vinajengwa. Aidha, baada ya Ujenzi huu Serikali itazigeukia Tarafa zingine.

Wanachi wa tarafa ya Nakopi wametowa shukrani zao za dhati kwa Serikali huku wakiahidi kushirikiana bega kwa bega ili kuhakikisha ujenzi wa miundombinu ya Tarafa unakamilika kwa wakati.

Matangazo

  • FORM FOUR NATIONAL RESULTS 2017 January 31, 2018
  • HARAMBEE UJENZI WA ZAHANATI YA LUMESULE April 01, 2018
  • Ona yote

Habari Mpya

  • Nanyumbu kuadhimisha Siku ya Elimu kiwilaya

    January 05, 2019
  • Waliofeli darasa la saba Nanyumbu watoa siri nzito

    January 02, 2019
  • Nanyumbu yagawa vitambulisho kwa wajasiriamali wadogo

    December 26, 2018
  • Mbunge Nanyumbu aongoza harambee kuchangia Ujenzi wa shule

    December 20, 2018
  • Ona yote

Video

Utalii wa ndani Nanyumbu
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • miongozo

Tovuti Mashuhuri

  • Public Service Management
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu

    Anwani ya Posta: 246, Masasi

    Simu: 0232934112/3

    Simu za Mikononi:

    Barua Pepe: info@nanyumbu.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

dissertation-writingservice.com

    • Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 Nanyumbu Distict Council . All rights reserved.