• Contact us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Nanyumbu District Council
Nanyumbu District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Nanyumbu District Council

  • Home
  • About Us
    • History
      • List of Leaders
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Stategies
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Maji
      • Kilimo
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Hearth
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Katibu tawala wa mkoa wa mtwara awataka tehama na maafisa mawasiliano wa serikali kuzingatia miiko na maadili ya taaluma zao.

Posted on: March 21st, 2017

 Tuesday, March 21, 2017 

Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Alfred Luanda amewaagiza na Kuwataka Maafisa Tehama na Habari na Kufanya kazi kwa kuzingatia Miiko na Maadili ya Taaluma yanayoelekeza utoaji wa taarifa na matukio ya shughuli na miradi mbalimbali inayotekelezwa katika maeneo yao ili kuhabarisha umma kupitia taarifa sahihi.    

Katibu Tawala Luanda,ameeleza hayo wakati akifungua Mafunzo ya Uanzishaji na Uendeshaji wa Tovuti kwa Maafisa Tehama na Maafisa Mawasiliano wa ngazi za Mamlaka za Serikali za Mitaa za Mikoa,Halmashauri za Manispaa,Miji na Wilaya kwa taasisi hizo za Mikoa ya Kisini ya Mtwara,Ruvuma na Lindi yatakayofanyika kwa Wiki nzima kuanzia Leo,katika Ukumbi wa Mikutano wa Tiffany Diamond Hotel Mjini Mtwara.  

Luanda,amesema ni vyema Maafisa Habari na Tehama kuzingatia Maadili na Miiko ya Taaluma ya Habari katika masuala ya utoaji wa taarifa zilizo sahihi na zilizochungwa kutoka katika Mamlaka husika na chanzo cha kuaminika kwa lengo la kuwatarifu wananchi kuhusu Shughuli na Miradi mbalimbali ya Maendeleo inayofanyika pamoja na matukio yoyote yanayofanyika katika Halmashauri zao na kuyatangaza kupitia Tovuti na Mitandao mbalimbali ya Kijamii na Vyombo vya Habari.

Amewaeleza na kuwasihi kujituma na kuwa Wabunifu katika utoaji wa Habari kupitia taarifa na matukio mbalimbali kwa kutumia kikamilifu vitendea kazi vilivyopo,"naomba mjitahidi sana kutoa taarifa kwa nyakati hizi za ukuaji wa Teknolojia hususan matumizi ya simu za Viganjani ama Mkononi ambazo zina uwezo wa kupiga picha nzuri za Mnato na Video zenye ubora na kuzirusha katika mitandao ya jamii"

.Alifafanua na kisisitiza Alfred Luanda.Awali akitoa Maelezo ya Utangulizi kuhusiana na Zoezi zima la Mafunzo ya Tovuti kwa Maafisa Habari na Maafisa Tehama,Kiongozi wa Mafunzo haya kwa Mikoa ya Kanda ya Kusini,Edgar Mdemu ambaye na Afisa Tehama wa Mkoa wa Simiyu alisema Mafunzo ni muhimu sana kwa Maafisa Tehama na Habari ili kuziwezesha Tovuti zote za taasis husika kufanya kazi na kuwa na taarifa za kutosha ikiwemo taarifa na habari mpya za kila siku.

Alifafanua na kueleza kuhusu lengo la Serikali kuimarisha na  kuboresha mifumo ya mawasiliano ya sekta za Umma kupitia ufadhili wa mradi wa Wamarekani USAID Ps3 kwa kwa ushirikiano na Tanzania,kwa uratibu na usimamizi wa Wakala wa Serikali Mtandao na Tamisemi,kwa lengo na madhumuni makubwa ya kuhakikisha kila taasis katika Mamlaka za Serikali za Mitaa inakuwa na Tovuti iliyohai.

Mdemu alieleza pia kwamba Mafunzo haya yanatolewa katika mgawanyo wa Kanda tank ( 5) Mikoa Kanda ya kati ya Dodoma ,Mikoa ya Kanda ya Morogoro,Mbeya na Kanda ya Kigoma,ambapo Mikoa ya Kanda ya Ziwa ya Simiyu,Mwanza,Mara,Kagera na Shinyanga zimeshafanya Mafunzo haya kwa Maafisa Tehama na Habari na Tovuti za Halmashauri na Mikoa hiyo zimekwishazinduliwa na zinafanyanya kazi kikamilifu.





Announcements

  • FORM FOUR NATIONAL RESULTS 2017 January 31, 2018
  • HARAMBEE UJENZI WA ZAHANATI YA LUMESULE April 01, 2018
  • View All

Latest News

  • Chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi kuanza leo Wilaya ya Nanyumbu

    April 23, 2018
  • Waziri wa Kilimo na Mifugo amtumbuwa Mkurugenzi wa Bodi ya Korosho

    April 22, 2018
  • Nanyumbu yadhamiria kumaliza kabisa tatizo la uhaba wa miundombinu ya Shule

    April 20, 2018
  • Wananchi wakumbushwa kujikinga dhidi ya UKIMWI

    April 17, 2018
  • View All

Video

KAULIMBIU MAONESHO NANENANE 2017
More Videos

Quick Links

  • miongozo

Related Links

  • Public Service Management
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

World visitors tracker

world map hits counter

Contact us

    Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu

    Postal Address: 246, Masasi

    Telephone: 0232934112/3

    Mobile:

    Email: info@nanyumbu.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

dissertation-writingservice.com

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Nanyumbu Distict Council . All rights reserved.